Jumapili, 1 Septemba 2013

soma kisa hiki ni kizuri sana:


MAPENZI YA KWELI NI VITENDO WALA SI MANENO

waliishi mume na mke katika hali ya umasikini sana,jioni moja mke alimwambia mumewe:naomba uninunulie kitana ili nichanie nywele zangu,zipendeze!!!
mume alimwangalia kwa jicho la huzuni sana,akwambia:sinauwezo huo kwani saa yangu inataka mkanda ili niivae mpaka leo nimeshindwa kuinunulia!
mwanamke hakumjibu mbovu ila alitabasamu.
siku ya pili baada ya mume kutoka kazini kwake,alikwenda sokoni na kuiuza saa yake kwa bei ndogo sana,na akanunua kitana alichoagizwa na mke wake,lakini aliporudi nyumbani akamkuta mke wake kakata nywele zake na zimekuwa ndogo sana kiasi kwamba hazitaki kitana!!
kila mmoja alimwangalia mwenzake huku machozi yakiwatoka si kwa lolote isipokuwa kila mmoja anampenda mwenzake na analinda kutimiza mahitaji yake kwa njia yoyote ile!!
KUMBUKA DAIMA:
JITAHIDI KATIKA KUMFURAHISHA UNAEM
PENDA(MKE/MUME/WAZAZI/NDUGU...)KWA NJIA ZOTE HATA KAMA NJIA YA KUFIKIA LENGO HILO NI NGUMU,KWANI MAPENZI YA KWELI NI VITENDO WALA SIO MANENO MDOMONI

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni